Monday, 3 September 2018

Michezo

Cristiano Ronaldo bado hajaifungia goli Juventus lakini mtoto wakw mwenye miaka nane mwisho wa juma liliopita amepachika magoli manne kwenye moja ya timu za watoto za klabu hiyo. (Marca)
Mlinzi wa klabu ya Arsenal na Ujerumani Shkodran Mustafi anaweza akaadhibiwa na Chama cha Mpira (FA) kwa namna alivyoshangilia goli lake dhidi ya Cardiff siku ya Jumapili. (Mirror)
Uhusiano wa kocha wa Manchester City Pep na winga Leroy Sane, 22, kumewaogofya wachezaji wengine wa timu hiyo, hususan katika kupata nafasi ya kucheza. (London Evening Standard)

No comments: